Nehemia 1:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 1 Maneno ya Nehemia+ mwana wa Hakalia: Ikawa kwamba katika mwezi wa Kislevu,+ katika mwaka wa 20,+ mimi nilikuwa katika ngome ya Shushani.+ Esta 2:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kisha ikatukia kwamba, wakati neno la mfalme na sheria yake iliposikiwa, na wanawake wengi vijana walipokusanywa pamoja kwenye ngome ya Shushani+ chini ya Hegai,+ Esta naye alipelekwa katika nyumba ya mfalme chini ya Hegai mlinzi wa wanawake.
1 Maneno ya Nehemia+ mwana wa Hakalia: Ikawa kwamba katika mwezi wa Kislevu,+ katika mwaka wa 20,+ mimi nilikuwa katika ngome ya Shushani.+
8 Kisha ikatukia kwamba, wakati neno la mfalme na sheria yake iliposikiwa, na wanawake wengi vijana walipokusanywa pamoja kwenye ngome ya Shushani+ chini ya Hegai,+ Esta naye alipelekwa katika nyumba ya mfalme chini ya Hegai mlinzi wa wanawake.