Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ezra 4:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Ndipo Rehumu+ ofisa mkuu wa serikali na Shimshai, mwandishi, na wenzao wengine, waamuzi na magavana wadogo ng’ambo ya Mto,+ waandishi,+ watu wa Ereki,+ Wababiloni,+ wakaaji wa Susa,+ yaani, Waelamu,+

  • Esta 1:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 kwamba katika siku hizo Mfalme Ahasuero alipokuwa anaketi juu ya kiti chake cha ufalme,+ kilichokuwa katika ngome+ ya Shushani,+

  • Esta 3:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Wajumbe hao wakaondoka, wakaenda haraka+ kwa sababu ya neno la mfalme, na sheria hiyo ikatolewa katika ngome ya Shushani.+ Naye mfalme pamoja na Hamani wakaketi ili kunywa;+ bali jiji la Shushani+ likavurugika.+

  • Danieli 8:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Nami nikaanza kuona katika maono hayo; ikawa kwamba, nilipokuwa nikiona, nilikuwa katika ngome ya Shushani,+ iliyo katika wilaya ya utawala ya Elamu;+ nami nikaona katika maono hayo, nami nilikuwa kando ya mfereji wa Ulai.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki