9 Ndipo Rehumu+ ofisa mkuu wa serikali na Shimshai, mwandishi, na wenzao wengine, waamuzi na magavana wadogo ng’ambo ya Mto,+ waandishi,+ watu wa Ereki,+ Wababiloni,+ wakaaji wa Susa,+ yaani, Waelamu,+
15 Wajumbe hao wakaondoka, wakaenda haraka+ kwa sababu ya neno la mfalme, na sheria hiyo ikatolewa katika ngome ya Shushani.+ Naye mfalme pamoja na Hamani wakaketi ili kunywa;+ bali jiji la Shushani+ likavurugika.+
2 Nami nikaanza kuona katika maono hayo; ikawa kwamba, nilipokuwa nikiona, nilikuwa katika ngome ya Shushani,+ iliyo katika wilaya ya utawala ya Elamu;+ nami nikaona katika maono hayo, nami nilikuwa kando ya mfereji wa Ulai.+