-
2 Mambo ya Nyakati 24:11Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
11 Na ikawa kwamba kwa wakati unaofaa akawa akiliweka lile sanduku chini ya uangalizi wa mfalme kwa mkono wa Walawi,+ na mara tu walipoona kuna pesa nyingi,+ mwandishi+ wa mfalme na mjumbe wa mkuu wa makuhani wakaja na kuzitoa katika sanduku, kisha wakaliinua na kulirudisha mahali pake. Hivyo ndivyo walivyofanya siku baada ya siku, hivi kwamba wakakusanya pesa kwa wingi.
-