9 Ndipo Rehumu+ ofisa mkuu wa serikali na Shimshai, mwandishi, na wenzao wengine, waamuzi na magavana wadogo ng’ambo ya Mto,+ waandishi,+ watu wa Ereki,+ Wababiloni,+ wakaaji wa Susa,+ yaani, Waelamu,+
2 Nami nikaanza kuona katika maono hayo; ikawa kwamba, nilipokuwa nikiona, nilikuwa katika ngome ya Shushani,+ iliyo katika wilaya ya utawala ya Elamu;+ nami nikaona katika maono hayo, nami nilikuwa kando ya mfereji wa Ulai.+