Ezra 4:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Mfalme akapeleka neno kwa Rehumu+ ofisa mkuu wa serikali na Shimshai mwandishi na wenzao+ waliokaa katika Samaria na wale wengine ng’ambo ya Mto: “Salamu!+ Basi Ezra 4:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Ikawa kwamba baada ya kusomwa kwa nakala ya barua rasmi ya Mfalme Artashasta mbele ya Rehumu+ na Shimshai+ mwandishi na wenzao,+ walifanya haraka kwenda Yerusalemu kwa Wayahudi na kuwakomesha kwa kutumia nguvu za silaha.+
17 Mfalme akapeleka neno kwa Rehumu+ ofisa mkuu wa serikali na Shimshai mwandishi na wenzao+ waliokaa katika Samaria na wale wengine ng’ambo ya Mto: “Salamu!+ Basi
23 Ikawa kwamba baada ya kusomwa kwa nakala ya barua rasmi ya Mfalme Artashasta mbele ya Rehumu+ na Shimshai+ mwandishi na wenzao,+ walifanya haraka kwenda Yerusalemu kwa Wayahudi na kuwakomesha kwa kutumia nguvu za silaha.+