7 Pia, katika siku za Artashasta, Bishlamu, Mithredathi, Tabeeli na wale wenzake walimwandikia Artashasta mfalme wa Uajemi, na maandishi ya barua hiyo yaliandikwa kwa herufi za Kiaramu na kutafsiriwa katika lugha ya Kiaramu.+
3 Wakati huo Tatenai+ gavana wa ng’ambo ya Mto+ na Shethar-bozenai na wenzao wakaja kwao, na kuwaambia hivi: “Ni nani aliyewapa agizo la kujenga nyumba hii na kukamilisha muundo huu wa nguzo?”+