Nehemia 1:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 1 Maneno ya Nehemia+ mwana wa Hakalia: Ikawa kwamba katika mwezi wa Kislevu,+ katika mwaka wa 20,+ mimi nilikuwa katika ngome ya Shushani.+ Esta 1:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 kwamba katika siku hizo Mfalme Ahasuero alipokuwa anaketi juu ya kiti chake cha ufalme,+ kilichokuwa katika ngome+ ya Shushani,+ Danieli 8:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Nami nikaanza kuona katika maono hayo; ikawa kwamba, nilipokuwa nikiona, nilikuwa katika ngome ya Shushani,+ iliyo katika wilaya ya utawala ya Elamu;+ nami nikaona katika maono hayo, nami nilikuwa kando ya mfereji wa Ulai.+
1 Maneno ya Nehemia+ mwana wa Hakalia: Ikawa kwamba katika mwezi wa Kislevu,+ katika mwaka wa 20,+ mimi nilikuwa katika ngome ya Shushani.+
2 kwamba katika siku hizo Mfalme Ahasuero alipokuwa anaketi juu ya kiti chake cha ufalme,+ kilichokuwa katika ngome+ ya Shushani,+
2 Nami nikaanza kuona katika maono hayo; ikawa kwamba, nilipokuwa nikiona, nilikuwa katika ngome ya Shushani,+ iliyo katika wilaya ya utawala ya Elamu;+ nami nikaona katika maono hayo, nami nilikuwa kando ya mfereji wa Ulai.+