5 Na ikawa kwamba siku ya tatu+ Esta akavaa mavazi ya kifalme,+ kisha akasimama katika ua wa ndani+ wa nyumba ya mfalme kuelekeana na nyumba ya mfalme, mfalme akiwa ameketi katika kiti chake cha ufalme ndani ya nyumba ya kifalme kuelekeana na lango la nyumba.