Ezekieli 11:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 “Kwa hiyo sema, ‘Hivi ndivyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema: “Pia nitawakusanya ninyi kutoka kwa vikundi vya watu na kuwakusanya ninyi kutoka katika nchi ambazo katikati yake mmetawanywa, nami nitawapa ninyi udongo wa Israeli.+ Ezekieli Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 11:17 w97 5/1 19-20 Ezekieli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 11:17 Ibada Safi, kur. 100-101, 105 Mnara wa Mlinzi,5/1/1997, kur. 19-209/15/1988, uku. 15
17 “Kwa hiyo sema, ‘Hivi ndivyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema: “Pia nitawakusanya ninyi kutoka kwa vikundi vya watu na kuwakusanya ninyi kutoka katika nchi ambazo katikati yake mmetawanywa, nami nitawapa ninyi udongo wa Israeli.+