Kutoka 28:41 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 41 Na kwa vitu hivyo wewe utamvika Haruni ndugu yako na wanawe pamoja naye, nawe utawatia mafuta+ na kuijaza mikono yao nguvu+ na kuwatakasa, nao watakuwa makuhani kwangu. Mambo ya Walawi 8:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Mwishowe akamimina sehemu ya mafuta hayo ya kutia mafuta juu ya kichwa cha Haruni na kumtia mafuta ili kumtakasa.+
41 Na kwa vitu hivyo wewe utamvika Haruni ndugu yako na wanawe pamoja naye, nawe utawatia mafuta+ na kuijaza mikono yao nguvu+ na kuwatakasa, nao watakuwa makuhani kwangu.
12 Mwishowe akamimina sehemu ya mafuta hayo ya kutia mafuta juu ya kichwa cha Haruni na kumtia mafuta ili kumtakasa.+