Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 22:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 “‘Na ikiwa mtu atamtolea Yehova dhabihu ya ushirika+ ili kulipa nadhiri+ au kama toleo la hiari, atakuwa asiye na kasoro katikati ya mifugo au kundi, ili kupata kibali. Kasoro yoyote isiwe ndani yake.

  • Waroma 12:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kwa sababu hiyo nawasihi ninyi kwa huruma za Mungu, akina ndugu, mtoe miili+ yenu iwe dhabihu+ iliyo hai,+ takatifu,+ yenye kukubalika kwa Mungu,+ utumishi mtakatifu+ pamoja na nguvu zenu za kufikiri.+

  • Waefeso 5:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 ili kujipa mwenyewe kutaniko likiwa na fahari,+ likiwa bila doa au kunyanzi au lolote la mambo hayo, bali ili liwe takatifu na bila dosari.+

  • Waebrania 7:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Kwa maana kuhani mkuu wa namna hiyo alitufaa sisi,+ mshikamanifu,+ asiye na hila,+ asiye na unajisi,+ aliyetengwa kutoka kwa watenda-dhambi,+ na kuwa juu zaidi kuliko mbingu.+

  • Ufunuo 14:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 na hamna uwongo uliopatikana katika vinywa vyao;+ wao hawana dosari.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki