Mambo ya Walawi 21:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Hata hivyo, hapaswi kukaribia pazia+ wala madhabahu,+ kwa sababu ana kasoro mwilini; naye hapaswi kuchafua mahali pangu patakatifu,+ kwa kuwa mimi ni Yehova, ninayewatakasa.’”+
23 Hata hivyo, hapaswi kukaribia pazia+ wala madhabahu,+ kwa sababu ana kasoro mwilini; naye hapaswi kuchafua mahali pangu patakatifu,+ kwa kuwa mimi ni Yehova, ninayewatakasa.’”+