7 Nanyi msitoke katika mwingilio wa hema la mkutano msije mkafa,+ kwa sababu mafuta ya Yehova yanayotumiwa kutia mafuta yako juu yenu.”+ Basi wakafanya kulingana na neno la Musa.
23 Hata hivyo, hatakaribia pazia,+ wala hatakaribia madhabahu,+ kwa sababu kuna kasoro ndani yake;+ naye hatapatia unajisi patakatifu pangu,+ kwa kuwa mimi ni Yehova ninayewatakasa wao.’”+