24 Hata hivyo, miezi mitatu hivi baadaye Yuda akaambiwa: “Tamari binti-mkwe wako amefanya ukahaba,+ na tazama ana mimba+ pia kutokana na ukahaba wake.” Ndipo Yuda akasema: “Mtoeni nje ateketezwe.”+
14 “‘Na mwanamume akimchukua mwanamke pamoja na mama yake, ni mwenendo mpotovu.+ Watamteketeza yeye na wao katika moto,+ ili mwenendo mpotovu+ usiendelee katikati yenu.