28 Naye alichaguliwa kwa ajili yangu kutoka kwa makabila yote ya Israeli,+ awe kuhani na kupanda juu ya madhabahu+ yangu ili afukize moshi wa dhabihu, avae efodi mbele zangu, ili niipe nyumba ya babu yako matoleo yote ya wana wa Israeli yaliyotolewa kwa njia ya moto.+
19 Hivi ndivyo vilivyokuwa vyeo+ vyao kwa ajili ya utumishi wao,+ kuingia katika nyumba ya Yehova kulingana na haki yao+ inayostahiliwa kwa mkono wa Haruni babu yao, kama vile Yehova, Mungu wa Israeli, alivyokuwa amemwamuru.
11 Sasa, wanangu, msijipumzishe,+ kwa maana Yehova amewachagua ninyi msimame mbele zake ili kumhudumia+ na kuwa wahudumu+ wake na kuwa wenye kufukiza moshi wa dhabihu.”+