Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 2:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Naye alichaguliwa kwa ajili yangu kutoka kwa makabila yote ya Israeli,+ awe kuhani na kupanda juu ya madhabahu+ yangu ili afukize moshi wa dhabihu, avae efodi mbele zangu, ili niipe nyumba ya babu yako matoleo yote ya wana wa Israeli yaliyotolewa kwa njia ya moto.+

  • 1 Mambo ya Nyakati 24:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Hivi ndivyo vilivyokuwa vyeo+ vyao kwa ajili ya utumishi wao,+ kuingia katika nyumba ya Yehova kulingana na haki yao+ inayostahiliwa kwa mkono wa Haruni babu yao, kama vile Yehova, Mungu wa Israeli, alivyokuwa amemwamuru.

  • 2 Mambo ya Nyakati 29:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Sasa, wanangu, msijipumzishe,+ kwa maana Yehova amewachagua ninyi msimame mbele zake ili kumhudumia+ na kuwa wahudumu+ wake na kuwa wenye kufukiza moshi wa dhabihu.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki