Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 3:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 “Leta kabila la Lawi+ karibu, nawe utawasimamisha mbele ya Haruni kuhani, nao watamhudumia.+

  • Hesabu 18:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Na uwalete karibu, pia, ndugu zako wa kabila la Lawi, ukoo wa baba yako, pamoja nawe, wapate kuungana nawe na wapate kukuhudumia wewe,+ wewe na wana wako pamoja nawe, mbele ya hema la Ushuhuda.+

  • Hesabu 18:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Na mimi, tazama! mimi nimewachukua ndugu zenu, Walawi, kutoka katikati ya wana wa Israeli,+ wawe zawadi kwenu,+ kama wale waliokabidhiwa kwa Yehova ili kuendeleza utumishi wa hema la mkutano.+

  • Kumbukumbu la Torati 10:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 “Wakati huo Yehova alitenga kabila la Lawi+ ili lichukue sanduku la agano la Yehova,+ lisimame mbele za Yehova ili kumhudumia+ na kubariki katika jina lake mpaka leo hii.+

  • Luka 12:48
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 48 Lakini yule ambaye hakuelewa+ na kwa hiyo akafanya mambo yanayostahili mapigo atapigwa machache.+ Kwa kweli, kila mtu ambaye alipewa mengi, atadaiwa+ mengi; na yule ambaye watu wamemweka asimamie mengi, watamdai mengi zaidi kutoka kwake kuliko ilivyo kawaida.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki