12 “Mimi nami, tazama! nawachukua Walawi kutoka katikati ya wana wa Israeli badala ya wazaliwa wa kwanza+ wote wanaofungua tumbo la uzazi la wana wa Israeli; nao Walawi watakuwa wangu.
45 “Chukua Walawi mahali pa wazaliwa wote wa kwanza kati ya wana wa Israeli, na wanyama wa kufugwa wa Walawi mahali pa wanyama wao wa kufugwa; na Walawi watakuwa wangu.+ Mimi ni Yehova.