41 Nawe utawachukua Walawi kwa ajili yangu—mimi ni Yehova—mahali pa wazaliwa wote wa kwanza katikati ya wana wa Israeli,+ na wanyama wa kufugwa wa Walawi mahali pa wazaliwa wote wa kwanza kati ya wanyama wa kufugwa wa wana wa Israeli.”+
45 “Chukua Walawi mahali pa wazaliwa wote wa kwanza kati ya wana wa Israeli, na wanyama wa kufugwa wa Walawi mahali pa wanyama wao wa kufugwa; na Walawi watakuwa wangu.+ Mimi ni Yehova.