12 “Mimi nami, tazama! nawachukua Walawi kutoka katikati ya wana wa Israeli badala ya wazaliwa wa kwanza+ wote wanaofungua tumbo la uzazi la wana wa Israeli; nao Walawi watakuwa wangu.
16 Kwa maana wao ni watu waliokabidhiwa, niliokabidhiwa mimi kati ya wana wa Israeli.+ Badala ya wale wote wanaofungua tumbo la uzazi, wazaliwa wote wa kwanza kati ya wana wa Israeli,+ nitawachukua kwa ajili yangu mwenyewe.