Hesabu 18:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Mimi mwenyewe nimewachukua ndugu zenu, Walawi, kutoka miongoni mwa Waisraeli na kuwakabidhi ninyi kama zawadi.+ Wamekabidhiwa kwa Yehova ili watumikie katika hema la mkutano.+
6 Mimi mwenyewe nimewachukua ndugu zenu, Walawi, kutoka miongoni mwa Waisraeli na kuwakabidhi ninyi kama zawadi.+ Wamekabidhiwa kwa Yehova ili watumikie katika hema la mkutano.+