Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 25:37
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 37 Nawe utakifanyia taa saba; na taa hizo zitawashwa, nazo zitaangaza juu ya eneo lililo mbele yake.+

  • Kutoka 37:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Kisha akafanya kinara cha taa+ cha dhahabu safi. Kwa kazi ya kufua akakifanya kinara cha taa. Pande zake na matawi yake, vikombe vyake, mafundo yake na maua yake vikatokea kwake.+

  • Ufunuo 1:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Kwa habari ya siri takatifu ya zile nyota saba+ ulizoona juu ya mkono wangu wa kuume, na ya vile vinara saba vya taa vya dhahabu:+ Zile nyota saba zinamaanisha wale malaika wa yale makutaniko saba, na vile vinara saba vya taa vinamaanisha makutaniko saba.+

  • Ufunuo 2:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 “ ‘Kwa hiyo kumbuka umeanguka kutoka wapi, nawe utubu+ na kufanya yale matendo ya mwanzoni. Usipofanya hivyo, mimi ninakuja kwako,+ nami nitakiondoa kinara chako cha taa+ kutoka mahali pake, usipotubu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki