17 Kisha akafanya kinara cha taa+ cha dhahabu safi. Kwa kazi ya kufua akakifanya kinara cha taa. Pande zake na matawi yake, vikombe vyake, mafundo yake na maua yake vikatokea kwake.+
20 Kwa habari ya siri takatifu ya zile nyota saba+ ulizoona juu ya mkono wangu wa kuume, na ya vile vinara saba vya taa vya dhahabu:+ Zile nyota saba zinamaanisha wale malaika wa yale makutaniko saba, na vile vinara saba vya taa vinamaanisha makutaniko saba.+
5 “ ‘Kwa hiyo kumbuka umeanguka kutoka wapi, nawe utubu+ na kufanya yale matendo ya mwanzoni. Usipofanya hivyo, mimi ninakuja kwako,+ nami nitakiondoa kinara chako cha taa+ kutoka mahali pake, usipotubu.