Mathayo 5:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Vivyo hivyo acheni nuru+ yenu iangaze mbele ya watu, ili wapate kuona matendo yenu mazuri+ na kumpa utukufu+ Baba yenu aliye mbinguni. Wafilipi 2:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 ili mje kuwa bila lawama na wasio na hatia,+ watoto+ wa Mungu wasio na dosari katikati ya kizazi kilicho kombo na kilichopotoka,+ ambao kati yao mnaangaza kama mianga katika ulimwengu,+
16 Vivyo hivyo acheni nuru+ yenu iangaze mbele ya watu, ili wapate kuona matendo yenu mazuri+ na kumpa utukufu+ Baba yenu aliye mbinguni.
15 ili mje kuwa bila lawama na wasio na hatia,+ watoto+ wa Mungu wasio na dosari katikati ya kizazi kilicho kombo na kilichopotoka,+ ambao kati yao mnaangaza kama mianga katika ulimwengu,+