Kutoka 25:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 Na mikasi yake ya tambi na vyetezo vyake ni vya dhahabu safi.+ Hesabu 4:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Nao watachukua kitambaa cha bluu na kukifunika kinara cha taa+ cha mwanga na taa+ zake na mikasi+ yake ya tambi na vyetezo+ vyake na vyombo+ vyake vyote vya mafuta wanavyotumia kwa ukawaida kukihudumia. 2 Mambo ya Nyakati 4:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 na maua na taa na mikasi ya tambi,+ ya dhahabu, (ilikuwa ndiyo dhahabu safi zaidi,)
9 Nao watachukua kitambaa cha bluu na kukifunika kinara cha taa+ cha mwanga na taa+ zake na mikasi+ yake ya tambi na vyetezo+ vyake na vyombo+ vyake vyote vya mafuta wanavyotumia kwa ukawaida kukihudumia.