Kutoka 25:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Nawe utakifanyia taa saba; na taa hizo zitawashwa, nazo zitaangaza juu ya eneo lililo mbele yake.+ Ufunuo 4:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Na umeme+ na sauti na ngurumo+ zinatoka katika kile kiti cha ufalme; na taa+ saba za moto zinawaka mbele ya kile kiti cha ufalme, na hizo zinamaanisha zile roho saba+ za Mungu.
37 Nawe utakifanyia taa saba; na taa hizo zitawashwa, nazo zitaangaza juu ya eneo lililo mbele yake.+
5 Na umeme+ na sauti na ngurumo+ zinatoka katika kile kiti cha ufalme; na taa+ saba za moto zinawaka mbele ya kile kiti cha ufalme, na hizo zinamaanisha zile roho saba+ za Mungu.