16 Na katika siku ya tatu kulipokuwa asubuhi, mingurumo na umeme zikaanza kutokea,+ na wingu zito+ juu ya mlima na sauti kubwa sana ya pembe,+ hivi kwamba watu wote waliokuwa kambini wakaanza kutetemeka.+
18 Sasa watu wote walikuwa wakiona ile mingurumo na miwako ya umeme na sauti ya baragumu na mlima ukitoa moshi. Watu walipoona hilo, ndipo wakatetemeka na kusimama mbali.+