Kutoka 25:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 “Nawe utafanya kinara cha taa cha dhahabu safi. Hicho kinara cha taa kitafanyizwa kwa kazi ya kufua.+ Msingi wake, matawi yake, vikombe vyake, vifundo vyake na maua yake vitatoka kwake. Kutoka 40:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Halafu akaweka kile kinara cha taa+ ndani ya hema la mkutano mbele ya ile meza, upande wa maskani kuelekea kusini.
31 “Nawe utafanya kinara cha taa cha dhahabu safi. Hicho kinara cha taa kitafanyizwa kwa kazi ya kufua.+ Msingi wake, matawi yake, vikombe vyake, vifundo vyake na maua yake vitatoka kwake.
24 Halafu akaweka kile kinara cha taa+ ndani ya hema la mkutano mbele ya ile meza, upande wa maskani kuelekea kusini.