Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Mambo ya Nyakati 6:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Na hawa ndio waliohudumu na pia wana wao: Wa wana wa Wakohathi Hemani+ mwimbaji, mwana wa Yoeli,+ mwana wa Samweli,+

  • 1 Mambo ya Nyakati 15:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Basi Walawi wakamweka Hemani+ mwana wa Yoeli na, kati ya ndugu zake, Asafu+ mwana wa Berekia; na, kati ya ndugu zao wana wa Merari, Ethani+ mwana wa Kushaya;

  • 1 Mambo ya Nyakati 25:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Hawa wote ndio waliokuwa chini ya amri ya baba yao katika nyimbo kwenye nyumba ya Yehova, wakiwa na matoazi,+ vinanda+ na vinubi+ kwa ajili ya utumishi wa nyumba ya Mungu wa kweli.

      Chini ya amri ya mfalme kulikuwa Asafu na Yeduthuni na Hemani.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki