Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 25:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Nawe utaitia miti hiyo kwenye zile pete zilizo kwenye pande za Sanduku ili kuitumia kulibeba Sanduku.

  • Hesabu 4:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 “Naye Haruni na wanawe watamaliza kufunika mahali patakatifu+ na vyombo+ vyote vya mahali patakatifu wakati kambi inapoondoka, kisha wana wa Kohathi watakuja ili kuvichukua,+ lakini hawapaswi kugusa+ mahali patakatifu wasije wakafa. Vitu hivyo ni mzigo wa wana wa Kohathi katika hema la mkutano.+

  • 1 Mambo ya Nyakati 15:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Ndipo wana wa Walawi wakaanza kulibeba+ sanduku la Mungu wa kweli, kama Musa alivyoamuru kwa amri ya Yehova, juu ya mabega yao na fimbo zikiwa juu yao.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki