Kutoka 40:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Naye Musa hakuweza kuingia ndani ya hema la mkutano, kwa sababu wingu+ lilikaa juu yake na utukufu wa Yehova uliijaza maskani.+ Hesabu 4:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Na huu ndio wajibu wao, mzigo wao,+ kulingana na utumishi wao wote katika hema la mkutano: vile viunzi vya mbao+ vya maskani na fito+ zake na nguzo+ zake na vikalio+ vyake,
35 Naye Musa hakuweza kuingia ndani ya hema la mkutano, kwa sababu wingu+ lilikaa juu yake na utukufu wa Yehova uliijaza maskani.+
31 Na huu ndio wajibu wao, mzigo wao,+ kulingana na utumishi wao wote katika hema la mkutano: vile viunzi vya mbao+ vya maskani na fito+ zake na nguzo+ zake na vikalio+ vyake,