16 Daudi akawaambia wakuu wa Walawi wawaweke ndugu zao waimbaji+ wakiwa na vyombo vya nyimbo,+ vinanda+ na vinubi+ na matoazi,+ wakipiga kwa sauti ili sauti ya kushangilia itokee.
4 Ndipo akawaweka baadhi ya Walawi+ mbele ya sanduku la Yehova wawe wahudumu;+ ili wakumbushe+ na pia wamshukuru+ na kumsifu+ Yehova, Mungu wa Israeli,
25Tena Daudi na wakuu+ wa vikundi vya utumishi+ wakatenga kwa ajili ya utumishi sehemu ya wana wa Asafu, Hemani+ na Yeduthuni+ wenye kutoa unabii kwa vinubi,+ kwa vinanda+ na kwa matoazi.+ Na kutoka katika hesabu yao kukawa na wanaume rasmi kwa ajili ya utumishi wao.
25 Wakati huohuo akawaweka Walawi+ katika nyumba ya Yehova, wakiwa na matoazi,+ na vinanda+ na vinubi,+ kulingana na amri ya Daudi+ na ya Gadi+ mwonaji wa mfalme na ya nabii Nathani,+ kwa maana amri hiyo ilikuwa kulingana na mkono wa Yehova kupitia manabii wake.+
10 Wajenzi walipoweka msingi+ wa hekalu la Yehova, ndipo makuhani katika mavazi rasmi,+ wakiwa na tarumbeta,+ na Walawi wana wa Asafu,+ wakiwa na matoazi,+ wakasimama ili kumsifu Yehova kulingana na mwelekezo+ wa Daudi mfalme wa Israeli.