Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Mambo ya Nyakati 16:41
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 41 na pamoja nao Hemani+ na Yeduthuni na wale watu wengine wachaguliwa waliowekwa+ kwa majina ili wamshukuru Yehova,+ kwa sababu “fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo”;+

  • 1 Mambo ya Nyakati 25:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Wa Yeduthuni:+ wana wa Yeduthuni, Gedalia+ na Zeri+ na Yeshaya,+ na Shimei, Hashabia na Matithia,+ sita, chini ya amri ya Yeduthuni baba yao, aliyekuwa akitoa unabii akiwa na kinubi kwa ajili ya kumshukuru na kumsifu Yehova.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki