41 na pamoja nao Hemani+ na Yeduthuni na wale watu wengine wachaguliwa waliowekwa+ kwa majina ili wamshukuru Yehova,+ kwa sababu “fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo”;+
3 Wa Yeduthuni:+ wana wa Yeduthuni, Gedalia+ na Zeri+ na Yeshaya,+ na Shimei, Hashabia na Matithia,+ sita, chini ya amri ya Yeduthuni baba yao, aliyekuwa akitoa unabii akiwa na kinubi kwa ajili ya kumshukuru na kumsifu Yehova.+