Zaburi 25:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Mapito yote ya Yehova ni fadhili zenye upendo na ukweliKwa wale wanaoshika agano lake+ na vikumbusho vyake.+ Zaburi 108:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kwa maana fadhili zako zenye upendo ni kuu mpaka mbinguni,+Na ukweli wako mpaka angani.+ Zaburi 138:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Nitainama kuelekea hekalu lako takatifu,+Nami nitalisifu jina lako,+Kwa sababu ya fadhili zako zenye upendo+ na kwa sababu ya ukweli wako.+Kwa maana umeyatukuza maneno yako+ hata juu ya jina lako lote.+ Zaburi 146:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Mtengenezaji wa mbingu na dunia,+Wa bahari, na vyote vilivyomo,+Yeye anayedumisha ukweli mpaka wakati usio na kipimo,+ Ufunuo 15:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Nao wanaimba wimbo wa Musa+ mtumwa wa Mungu na wimbo wa Mwana-Kondoo,+ wakisema: “Matendo yako ni makuu na ya ajabu,+ Yehova Mungu, Mweza-Yote.+ Njia zako ni za uadilifu na za kweli,+ Mfalme wa umilele.+
10 Mapito yote ya Yehova ni fadhili zenye upendo na ukweliKwa wale wanaoshika agano lake+ na vikumbusho vyake.+
2 Nitainama kuelekea hekalu lako takatifu,+Nami nitalisifu jina lako,+Kwa sababu ya fadhili zako zenye upendo+ na kwa sababu ya ukweli wako.+Kwa maana umeyatukuza maneno yako+ hata juu ya jina lako lote.+
6 Mtengenezaji wa mbingu na dunia,+Wa bahari, na vyote vilivyomo,+Yeye anayedumisha ukweli mpaka wakati usio na kipimo,+ Ufunuo 15:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Nao wanaimba wimbo wa Musa+ mtumwa wa Mungu na wimbo wa Mwana-Kondoo,+ wakisema: “Matendo yako ni makuu na ya ajabu,+ Yehova Mungu, Mweza-Yote.+ Njia zako ni za uadilifu na za kweli,+ Mfalme wa umilele.+
3 Nao wanaimba wimbo wa Musa+ mtumwa wa Mungu na wimbo wa Mwana-Kondoo,+ wakisema: “Matendo yako ni makuu na ya ajabu,+ Yehova Mungu, Mweza-Yote.+ Njia zako ni za uadilifu na za kweli,+ Mfalme wa umilele.+