Luka 2:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 “Utukufu katika vilele vilivyo juu+ kwa Mungu, na juu ya dunia amani+ kati ya watu wa nia njema.”+ Matendo 8:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Hata hivyo, wale waliokuwa wametawanywa wakapita katika nchi wakitangaza habari njema ya lile neno.+ Matendo 10:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Alituma+ neno kwa wana wa Israeli kuwatangazia habari njema ya amani+ kupitia Yesu Kristo: Huyu ni Bwana wa wengine wote.+ Wagalatia 3:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Sasa Andiko, likitangulia kuona kwamba Mungu atawatangaza watu wa mataifa kuwa waadilifu kutokana na imani, lilitangaza habari njema kimbele kwa Abrahamu, yaani: “Kupitia kwako mataifa yote yatabarikiwa.”+ Waefeso 2:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Naye alikuja na kuwatangazia ninyi habari njema ya amani,+ wale waliokuwa mbali sana, na amani kwa wale waliokuwa karibu,+
14 “Utukufu katika vilele vilivyo juu+ kwa Mungu, na juu ya dunia amani+ kati ya watu wa nia njema.”+
4 Hata hivyo, wale waliokuwa wametawanywa wakapita katika nchi wakitangaza habari njema ya lile neno.+
36 Alituma+ neno kwa wana wa Israeli kuwatangazia habari njema ya amani+ kupitia Yesu Kristo: Huyu ni Bwana wa wengine wote.+
8 Sasa Andiko, likitangulia kuona kwamba Mungu atawatangaza watu wa mataifa kuwa waadilifu kutokana na imani, lilitangaza habari njema kimbele kwa Abrahamu, yaani: “Kupitia kwako mataifa yote yatabarikiwa.”+
17 Naye alikuja na kuwatangazia ninyi habari njema ya amani,+ wale waliokuwa mbali sana, na amani kwa wale waliokuwa karibu,+