Mwanzo 12:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Nami nitawabariki wale wanaokubariki, na yule anayekulaani nitamlaani,+ na familia zote za nchi zitajibariki kupitia kwako.”+ Mwanzo 18:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Tazama, kwa hakika Abrahamu atakuwa taifa kubwa na lenye nguvu, na mataifa yote ya dunia yatajibariki kupitia kwake.+ Matendo 3:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Ninyi ndio wana+ wa manabii na wa agano ambalo Mungu aliagana pamoja na mababu zenu, akimwambia Abrahamu, ‘Na katika uzao wako familia zote za dunia zitabarikiwa.’+
3 Nami nitawabariki wale wanaokubariki, na yule anayekulaani nitamlaani,+ na familia zote za nchi zitajibariki kupitia kwako.”+
18 Tazama, kwa hakika Abrahamu atakuwa taifa kubwa na lenye nguvu, na mataifa yote ya dunia yatajibariki kupitia kwake.+
25 Ninyi ndio wana+ wa manabii na wa agano ambalo Mungu aliagana pamoja na mababu zenu, akimwambia Abrahamu, ‘Na katika uzao wako familia zote za dunia zitabarikiwa.’+