Mathayo 23:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Katika njia hiyo ninyi pia, kwa kweli, mnaonekana kwa nje kuwa waadilifu kwa watu,+ lakini ndani mmejaa unafiki na uasi-sheria. Tito 1:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 bila kusikiliza hadithi zisizo za kweli za Kiyahudi+ na amri za watu+ ambao hugeuka na kuiacha kweli.+
28 Katika njia hiyo ninyi pia, kwa kweli, mnaonekana kwa nje kuwa waadilifu kwa watu,+ lakini ndani mmejaa unafiki na uasi-sheria.
14 bila kusikiliza hadithi zisizo za kweli za Kiyahudi+ na amri za watu+ ambao hugeuka na kuiacha kweli.+