Kumbukumbu la Torati 4:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Na kuna taifa gani kubwa lenye masharti na maamuzi ya hukumu ya uadilifu kama sheria yote hii ninayoweka mbele yenu leo?+ Zaburi 50:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Yule anayetoa shukrani zikiwa dhabihu yake ndiye anayenitukuza;+Naye anayedumisha njia iliyowekwa,Nitamfanya aone wokovu wa Mungu.”+ Zaburi 147:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Anamtangazia Yakobo neno lake,+Na Israeli masharti+ yake na maamuzi yake ya hukumu.+
8 Na kuna taifa gani kubwa lenye masharti na maamuzi ya hukumu ya uadilifu kama sheria yote hii ninayoweka mbele yenu leo?+
23 Yule anayetoa shukrani zikiwa dhabihu yake ndiye anayenitukuza;+Naye anayedumisha njia iliyowekwa,Nitamfanya aone wokovu wa Mungu.”+