7 Ndipo Yezebeli mke wake akamwambia: “Je, ni wewe unayetawala ukiwa mfalme juu ya Israeli?+ Amka, ule mkate na moyo wako ufurahi. Mimi mwenyewe nitakupa shamba la mizabibu la Nabothi Myezreeli.”+
16 Watu hawa ni wanung’unikaji,+ walalamikaji juu ya fungu lao maishani, wakiendelea kulingana na tamaa zao wenyewe,+ na vinywa vyao husema mambo ya kujigamba,+ huku wakisifu kwa kustaajabia watu mashuhuri+ kwa ajili ya faida yao wenyewe.