Malaki 3:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 “Maneno yenu dhidi yangu yamekuwa makali,” asema Yehova. Nanyi mnauliza: “Ni katika njia gani tumesema maneno makali dhidi yako miongoni mwetu?”+
13 “Maneno yenu dhidi yangu yamekuwa makali,” asema Yehova. Nanyi mnauliza: “Ni katika njia gani tumesema maneno makali dhidi yako miongoni mwetu?”+