Isaya 5:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 wale wanaosema: “Kazi yake na iharakishe; hiyo na ije upesi ili tuione; nalo shauri la Mtakatifu wa Israeli likaribie na kuja, ili tupate kulijua!”+ Isaya 28:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kwa hiyo sikieni neno la Yehova, ninyi wenye kujigamba, ninyi watawala+ wa watu hawa walio katika Yerusalemu:
19 wale wanaosema: “Kazi yake na iharakishe; hiyo na ije upesi ili tuione; nalo shauri la Mtakatifu wa Israeli likaribie na kuja, ili tupate kulijua!”+
14 Kwa hiyo sikieni neno la Yehova, ninyi wenye kujigamba, ninyi watawala+ wa watu hawa walio katika Yerusalemu: