Malaki 3:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 “Maneno yenu yamekuwa yenye nguvu kinyume changu,”+ Yehova amesema. Nanyi mmesema: “Sisi tumesemezana nini kinyume chako?”+ Mathayo 12:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Ninawaambia ninyi kwamba kila neno lisilofaa ambalo watu husema, watatoa hesabu+ juu yake katika Siku ya Hukumu;
13 “Maneno yenu yamekuwa yenye nguvu kinyume changu,”+ Yehova amesema. Nanyi mmesema: “Sisi tumesemezana nini kinyume chako?”+
36 Ninawaambia ninyi kwamba kila neno lisilofaa ambalo watu husema, watatoa hesabu+ juu yake katika Siku ya Hukumu;