1 Samweli 2:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Na itatukia kwamba yeyote atakayebaki+ katika nyumba yako atakuja na kumwinamia kwa ajili ya malipo ya pesa na mkate wa mviringo, naye atasema: “Tafadhali, niweke katika kimoja cha vyeo vya kikuhani ili nile kipande cha mkate.”’”+ Ezekieli 44:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Toleo la nafaka na toleo la dhambi na toleo la hatia—hao ndio watakaokula hayo.+ Na kila kitu kilichotolewa katika Israeli—kitakuwa chao.+
36 Na itatukia kwamba yeyote atakayebaki+ katika nyumba yako atakuja na kumwinamia kwa ajili ya malipo ya pesa na mkate wa mviringo, naye atasema: “Tafadhali, niweke katika kimoja cha vyeo vya kikuhani ili nile kipande cha mkate.”’”+
29 Toleo la nafaka na toleo la dhambi na toleo la hatia—hao ndio watakaokula hayo.+ Na kila kitu kilichotolewa katika Israeli—kitakuwa chao.+