1 Samweli 2:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Mtu yeyote atakayebaki katika nyumba yako atakuja na kumwinamia ili alipwe pesa na kupata mkate, naye atasema: “Tafadhali, niweke katika nafasi yoyote ya ukuhani ili nile kipande cha mkate.”’”+
36 Mtu yeyote atakayebaki katika nyumba yako atakuja na kumwinamia ili alipwe pesa na kupata mkate, naye atasema: “Tafadhali, niweke katika nafasi yoyote ya ukuhani ili nile kipande cha mkate.”’”+