Mambo ya Walawi 2:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Na kilichobaki kutokana na lile toleo la nafaka ni cha Haruni na wanawe,+ kama kitu kitakatifu+ zaidi kutoka katika matoleo ya Yehova yanayotolewa kwa njia ya moto. Hesabu 5:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 “‘Na kila mchango+ wa vitu vyote vitakatifu+ vya wana wa Israeli, ambavyo watapeleka kwa kuhani, vitakuwa vyake.+
3 Na kilichobaki kutokana na lile toleo la nafaka ni cha Haruni na wanawe,+ kama kitu kitakatifu+ zaidi kutoka katika matoleo ya Yehova yanayotolewa kwa njia ya moto.
9 “‘Na kila mchango+ wa vitu vyote vitakatifu+ vya wana wa Israeli, ambavyo watapeleka kwa kuhani, vitakuwa vyake.+