Ezekieli 44:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 “ ‘Lakini Walawi walioenda mbali nami+ wakati ambapo Israeli, aliyeondoka akaenda mbali nami, alienda kufuatilia sanamu zao za mavi, wao pia lazima wachukue kosa lao.+ Malaki 2:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 “Lakini ninyi—mmegeuka kando mkaiacha njia.+ Mmesababisha wengi kujikwaa katika sheria.+ Mmeliharibu agano la Lawi,”+ Yehova wa majeshi amesema.
10 “ ‘Lakini Walawi walioenda mbali nami+ wakati ambapo Israeli, aliyeondoka akaenda mbali nami, alienda kufuatilia sanamu zao za mavi, wao pia lazima wachukue kosa lao.+
8 “Lakini ninyi—mmegeuka kando mkaiacha njia.+ Mmesababisha wengi kujikwaa katika sheria.+ Mmeliharibu agano la Lawi,”+ Yehova wa majeshi amesema.