24 Kwa hiyo watumishi wake wakamshusha kutoka katika gari lile, wakampandisha katika gari lake la pili la vita na kumpeleka Yerusalemu.+ Hivyo akafa+ na kuzikwa katika uwanja wa makaburi ya mababu zake;+ na Yuda wote na Yerusalemu walikuwa wakimwombolezea+ Yosia.