Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 12:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Sema na kusanyiko lote la Israeli, na kuwaambia, ‘Siku ya kumi ya mwezi huu watajichukulia kila mmoja kondoo+ kwa ajili ya nyumba ya mababu, kondoo mmoja kwa kila nyumba.

  • Kutoka 12:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 “‘Na siku hii itakuwa ukumbusho kwenu, nanyi mtaisherehekea ikiwa sherehe kwa Yehova katika vizazi vyenu vyote. Nanyi mtaisherehekea kama sheria mpaka wakati usio na kipimo.

  • Mambo ya Walawi 23:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Katika mwezi wa kwanza, katika siku ya kumi na nne ya mwezi huo,+ katikati ya zile jioni mbili ni pasaka+ kwa Yehova.

  • Hesabu 9:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Lakini wakati ambapo mtu alikuwa safi au hakuwa ameenda safari naye alipuuza kuitayarisha dhabihu ya pasaka, basi lazima nafsi hiyo itakatiliwa mbali kutoka kwa watu wake,+ kwa sababu haikutoa toleo la Yehova katika wakati wake uliowekwa. Mtu huyo atajibu kwa sababu ya dhambi yake.+

  • Hesabu 28:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 “‘Na katika mwezi wa kwanza, siku ya kumi na nne ya mwezi huo, itakuwa pasaka ya Yehova.+

  • Kumbukumbu la Torati 16:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 “Mwezi wa Abibu+ na uadhimishwe, nawe utasherehekea pasaka kwa Yehova Mungu wako,+ kwa sababu katika mwezi wa Abibu Yehova Mungu wako alikutoa Misri wakati wa usiku.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki