6 Nami nikamwona mwana-kondoo,+ kana kwamba alikuwa amechinjwa,+ akiwa amesimama katikati ya kile kiti cha ufalme+ na ya wale viumbe hai wanne na katikati ya wale wazee,+ akiwa na pembe saba na macho saba, macho ambayo yanamaanisha roho+ saba za Mungu ambazo zimetumwa katika dunia nzima.