30Na Hezekia akatuma ujumbe kwa Israeli+ wote na Yuda, na hata akaandika barua kwa Efraimu+ na Manase,+ waje Yerusalemu katika nyumba ya Yehova+ ili kumfanyia pasaka+ Yehova Mungu wa Israeli.
13 Nao wakakusanyika Yerusalemu,+ watu wengi sana, ili kufanya sherehe+ ya keki zisizo na chachu katika mwezi wa pili,+ kutaniko lenye watu wengi sana.