16 Na sasa itajulikana jinsi gani kwamba nimepata kibali machoni pako, mimi na watu wako? Je, si kwa wewe kwenda pamoja nasi,+ kwa kuwa mimi na watu wako tumefanywa tofauti na watu wengine wote walio juu ya uso wa nchi?”+
21 Kisha wana wa Israeli waliokuwa wametoka Uhamishoni wakala,+ na kila mtu aliyekuwa amejitenga na kuja kwao na kuuacha uchafu+ wa mataifa ya hiyo nchi, ili kumtafuta Yehova Mungu wa Israeli.+