- 
	                        
            
            Hesabu 9:14Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
- 
                            - 
                                        14 “‘Na ikiwa mkaaji mgeni atakuwa akikaa pamoja nanyi akiwa mgeni, yeye pia atamtayarishia Yehova dhabihu ya pasaka.+ Anapaswa kufanya kulingana na sheria ya pasaka na kulingana na utaratibu wake wa kawaida.+ Kutakuwa na sheria moja kwa ajili yenu, kwa ajili ya mkaaji mgeni na kwa ajili ya mwenyeji wa nchi.’”+ 
 
-